Articles by "HABARI"
Showing posts with label HABARI. Show all posts
KAMATI YA USALAMA BARABARANI ARUSHA YAKABIDHI VIFAA VYA TEHAMA POLISI ARUSHA
Katibu Mtendaji wa Kamati hiyo SSP. Zauda Mohamed (wa kwanza kushoto) akiwa pamoja na Maafisa, Wakaguzi na Askari kutoka kikosini wakipokea vifaa vya TEHAMA kwa Mjumbe...
Waajiri watakiwa kuithamini taaluma ya Uandishi wa Habari
Na Mwandishi Wetu.Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini wametakiwa kuithamini Taaluma ya Habari kwa kuwalipa stahili zao na mishahara kwa wakati waandishi wanaofanya...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA KATIBA NA SHERIA YAPITISHA MPANGO NA BAJETI YA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA TAASISI ZAKE KWA MWAKA WA FEDHA 2025/26
Na Veronica Mwafisi-DodomaKamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imepitisha Mpango na Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala...
WAVUVI NA WAMILIKI WA VYOMBO VIDOGO WAASWA KUZINGATIA USALAMA WAWAPO MAJINI
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limewaasa wananchi wa wilaya ya Kigoma kuzingatia usalama na utunzaji wa mazingira wanapofanya shughuli za usafiri majini...
INEC YAONGEZA SIKU UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA DAR
Na. Mwandishi Wetu, Dar es SalaamTume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuongeza siku mbili zaidi za zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani...
TETE FOUNDATION YAGAWA MAHITAJI KWA WANAFUNZI WALIOPO KATA YA MIONO, CHALINZE -PWANI
 TETE FOUNDATION kupitia mradi wake wa “TUNAAMINI KATIKA WEWE” wamekuwa wakigawa mahitaji/vifaa vya shule kwa watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na wenye...
JK AHUDHURIA KUAPISHWA KWA RAIS MPYA WA NAMIBIA NETUMBO NANDI-NDAITWA
 Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, alikuwa miongoni mwa wageni mashuhuri waliohudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais mpya...
MNEC Jumaa Asema Miaka Minne ya Rais Samia Imekuwa ya Mafanikio Makubwa, Ataja Mambo Makubwa Manne Muhimu
Na Gustaphu Haule, Pwani.MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM) kupitia Jumuiya ya Wazazi Hamoud Jumaa( MNEC), amesema kuwa miaka minne ya...
Kamati ya Kudumu ya Bunge yapongeza ujenzi jengo la Wizara ya Nishati Mji wa Serikali-Mtumba
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wakikagua ujenzi wa Jengo la Wizara ya Nishati wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa Jengo hilo katika Mji wa...
TANGA UWASA WAELEZA MBINU ZA KUKABILIANA NA MAJI YANAYOPOTEA
Na Oscar Assenga, TANGA.MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira ( Tanga Uwasa) imebuni mbinu mpya za kukabiliana na maji yanayopotea kila siku ambao utakuwa chachu...
Page 1 of 2491234567...249Next »Last