Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof.Jumanne Maghembe. Akitangaza Matokeo hayo Prof. Maghembe alisema kuwa mkoa wa kwanza kwa ufaulu ulikuwa ni Dar-es-salaam, ukifuatiwa na Arusha na watatu ukiwa ni mkoa wa Iringa. Kwa ujumla wake matokeo ya mwaka huu yameshuka kwa takribani asilimia 3 ukilinganisha na yale ya mwaka jana.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: