Articles by "MICHEZO"
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Benki ya NBC yakabidhi basi jipya kwa Klabu ya Coastal Union ya Tanga
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya NBC imekabidhi basi jipya kwa Klabu ya soka ya Coastal Union FC ya jijini Tanga inayoshiriki ligi...
Wafanyakazi wa Barrick wang’ara mbio za Kimataifa ya Kilimanjaro Marathon 2025
Wafanyakazi wa kampuni ya Barrick nchini kwa mara nyingine wameshiriki mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathon zilizofanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro na kujumuisha...
CRDB BANK YAZIDI KUIPAISHA KILI MARATHON
Hafla ya msimu wa 35 wa mbio za Kili Marathon imefanyika leo katika viwanja vya ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro, ambapo benki ya CRDB imeendeleza udhamini wake wa...
Fainali za CRDB Bank Supa Cup 2024 Zamalizika kwa Mafanikio Jijini Arusha
Jumamosi tarehe 14 Desemba 2024, jijini Arusha, Benki ya CRDB ilihitimisha fainali za CRDB Bank Supa Cup 2024, mashindano yaliyojumuisha michezo ya soka na netiboli,...
VODACOM TANZANIA WAMKARIBISHA NWANKWO KANU KWENYE TWENDE BUTIAMA
 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Philip Besiimire (kushoto) akimkabidhi jezi ya Vodacom gwiji wa Soka Barani Afrika kutoka Nigeria, Nwankwo Kanu mbele...
MATI SUPER BRANDS YASHIRIKI MANYARA DAFTARI DAY JOGGING
Na Mwandishi Wetu, Manyara.Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited imeshiriki na kudhamini Matembezi maalumu ya kuhamasisha Wananchi kujiandikisha...
Dkt. Biteko apongeza jitihada za CRDB Bank Marathon kusaidia watoto, wakinamama na vijana
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko (katikati), akiwa ameongozana na Waziri wa Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro (watatu kulia), Mkuu wa Mkoa wa Dar...
Page 1 of 391234567...39Next »Last