Articles by "UJUMBE WA LEO"
Showing posts with label UJUMBE WA LEO. Show all posts
UZINDUZI WA
WANAWAKE laki moja ni Asasi iliyoanzishwa kwa kufuata sheria na taratibu za Nchi mnamo mwezi wa Kwanza 2020.Lengo lake kuu ni Kuunganisha Wanawake wote Nchini Kupinga...
RC NCHIMBI: VIJANA TUMUENZI NYERERE KWA KUJIFUNZA HISTORIA
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi akizungumza na makundi mbalimbali ya vijana waliohudhuria katika Kongamano la Kumbukizi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage...
SAA 10 NA MSTAAFU HAYATI RAIS MKAPA-MTAKA
Nimebahatika kupata fursa kadhaa kukaa na kuzungumza na Mheshimiwa Rais Mstaafu Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake.Fursa ambayo sitaisahau ni ile ya masaa...
PROF KITILA MKUMBO APONGEZWA NA WAHITIMU WA 2017 TOKA SHULE KUU YA ELIMU (SOED) CHUO KIKUU CHA DSM
Baada ya siku chache kupita tangia wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo la Ubungo kumuamini Prof Alexander Kitila Mkumbo kwa kumpa kura nyingi za kutosha kuongoza katika...
JIHADHARI NA WIZI HUU MPYA
Njia mpya ya utapeli yaibuka wakishirikisha Jeshi la Polisi bila kujitambua kuwa wanafanikisha dili za hawa matapeli. mfano : Matapeli wanaweza kukuuzia sim ya wizi...
MITANDAO YA SIMU ACHENI KUTOZA PESA USAJILI WA ALAMA ZA VIDOLE
Nianze kwa kutoa pongezi za dhati kwa Mtandao wa Vodacom Tanzania kwa kuweza kufanikisha zoezi la usajili wa alama za vidole likawa jepesi kwa kuwafuata wateja katika...
USIMHUKUMU MTU KWA MUONEKANO WAKE WA NJE
Palikuwa na mchoraji mmoja ktk moja ya mji mchoraji huyo alikuwa mwenye umri wa utu uzima. Alikuwa akichora picha nzuri sana na akiziuza kwa gharama kubwa sana. Siku...
STEPHEN MASELE: “MZEE REGINALD MENGI NI SHUJAA NA MWANAMAPINDUZI WA KIUCHUMI”
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika Mheshimiwa Stephen Masele akiwa ofisini kwake, zilizopo Makao Makuu ya Bunge la Afrika, Jijini Johannesburg, Afrika Kusini...
MUUNGANO WETU NI FAHARI YETU
Na Emmanuel J. Shilatu Ni miaka 55 imetimia tangu jahazi lililowabeba Watanganyika na Wazanzibar liweke historia ya kung’oa nanga mara baada ya Jamhuri Muungano...
STEVE NYERERE ATOA YA MOYONI JUU YA TUZO ZA AZAM TV
Ujumbe huu ameuandika katika ukurasa wake wa Instagram Na Steve Nyerere2 Kwanza nichukue fursa hii kuipongeza Azam Cinema Zetu kwa ubunifu mzuri kwenye suala...
TAHADHARI! TAHADHARI! KUWENI MAKINI MNAPOPEWA DAWA
Ndugu wananchi, kumekuwapo na wizi mkubwa wa dawa za wagonjwa katika madirisha ya kuchukuliwa dawa hospitalini, wizi huu unafanywa na watoa dawa hasa kwa wagonjwa...
Page 1 of 91234567...9Next »Last