
For 2-3 Hour Power!ToxicOff

🔔 Ushindi ni wako sasa
SPORTS AND ENTERTAINMENT

After The Incident, The Whole Village Cried With Laughter
Buzz Day

Horse’s Refusal To Give Birth Sparks Dramatic Vet Rescue!
Buzz Day

Get Rid Of Fungal Infection In 14 Days: Apply This Twice A Day
Foot Trooper

Just 1 Glass Before Bed And Minus 11 Kg In 17 Days!
Matcha Slim

Tanzania’s Student Unveils Secret To Shedding Weight Effortlessly
Matcha Slim

Easy Way To Get Rid Of Erectile Dysfunction In 14 Days!
ToxicOff

This Simple Trick Eliminates Fungal Infection At Home In 14 Days
Foot Trooper

A Giant Columbian Anaconda Was Finally Caught On Camera!
Buzz Day
She Took Her Love For Horses To A Whole New Level
Brainberries

Key Practices To Cultivate Joy In Your Relationship
Herbeauty
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya HapaJe, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
magazetini
Newer
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU DESEMBA 15,2025
Older
GUTERRES : TANZANIA NI 'MFANO WA AMANI TANZANIA'
Posted by Admin
You may like these posts

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU DESEMBA 15,2025

Kupitia ujumbe aliouchapisha, Mwijaku amesema jamii ilikosa kuchagua upande mapema wakati tukio husika lilipotokea, akidai kuwa kulikuwa na ukimya hata katika kipindi ambacho kulikuwa na dalili za tatizo, ikiwemo “wakati wa nyuma” kabla mambo hayajafikia hatua ya sasa.
“Kwa nini sasa? Kwa nini sio wakati ule mambo yalipokuwa yanafanyika?” alihoji Mwijaku, akisisitiza kuwa msamaha unaotolewa kwa kuchelewa hauwezi kufuta ukweli wa kile kilichotokea wala kurejesha uaminifu wa jamii kwa haraka.
Aidha, amesema watu wengi wamekuwa wakipandikiza chuki kwa jamii kupitia watu wanaowapenda kwa dhati, hali ambayo imeifanya jamii ishindwe kupaza sauti na kusema ukweli mapema. Kwa mujibu wake, matokeo yake ni jamii kujikuta imegawanyika na kushindwa kufikia msimamo wa pamoja.
Hata hivyo, Mwijaku amesema licha ya yote, jamii inapaswa kubaliana kupitia burudani ya muziki, akieleza kuwa muziki ni nyenzo muhimu ya kuunganisha watu bila kujali tofauti zao. Amehimiza pande zote kuacha lawama na kuangalia mbele kwa maslahi mapana ya jamii.
Akihitimisha ujumbe wake, Mwijaku amesema ni muhimu kwa jamii kujifunza na kuamka juu ya siasa za chuki zinazotokana na watu wachache, akieleza fahari yake kwa Boss Majizo kwa kuthubutu kusema kilicho moyoni mwa watu wengi.
Kauli ya Mwijaku imepokelewa kwa hisia tofauti mitandaoni, huku baadhi wakimuunga mkono na wengine wakimtaka aendelee kuhimiza mazungumzo ya wazi na maridhiano ya kweli ndani ya jamii.
Amesema mkutano huo unatoa fursa ya kutathmini mafanikio ya utekelezaji wa Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama, pamoja na kubainisha changamoto na mikakati mipya ya kuimarisha utekelezaji wake barani Afrika.Dkt. Gwajima ameeleza kuwa licha ya hatua nzuri zilizopigwa katika kupanua usawa wa kijinsia, wanawake bado wanakabiliwa na vikwazo mbalimbali huku akitaja mila na desturi kandamizi, changamoto za kiuchumi na athari wanazokutana nazo wanawake wanaojitokeza kugombea nafasi za uongozi kuwa miongoni mwa mambo yanayopunguza ushiriki wao katika uongozi na siasa.
Amesisitiza kuwa utekelezaji wenye tija wa ajenda ya WPS unahitaji ushirikiano mpana kati ya serikali, mashirika ya kiraia, wadau wa maendeleo na taasisi za kikanda huu akisema Tanzania itaendelea kushirikiana na Umoja wa Afrika na wadau wengine ili kuhakikisha wanawake wanapata nafasi stahiki katika meza za maamuzi na michakato ya ujenzi wa amani barani Afrika.
Hata hivyo, ameonya kuwa teknolojia hiyo hiyo imekuwa ikichochea aina mpya za ukatili wa kijinsia mtandaoni, ambao waathirika wakubwa ni wanawake na wasichana.
Amefafanua kuwa mitandao ya kijamii imekuwa ikitumika kusambaza video za uongo, chuki, vitisho na matusi yanayolenga kuwachafua wanawake hadharani, jambo linalotishia usalama wao mtandaoni na kuwavunja moyo wanaotaka kushiriki katika uongozi na siasa.
Aidha amehimiza wadau wote kushiriki kikamilifu katika kutoa hamasa na elimu juu ya matumizi salama ya mitandao ili kulinda wanawake, wasichana na jamii kwa ujumla.





















