Mshindi wa pesa taslimu shilingi milioni 10 kupitia kampeni ya Vodacom Tanzania PLC ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’, Bw. Kennedy Ntenje (wa tatu kulia) akiwa ameshikilia mfano wa hundi pamoja na Masta Shangwe (mwenye kofia ngumu) na wafanyakazi wa kampuni hiyo katika viwanja vya Stendi ya zamani ya mkoani Iringa mwishoni mwa wiki. Kupitia kampeni yake iliyofikia tamati wateja walikuwa na fursa ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo bodaboda, luninga, simu za mkononi, router za 4G na 5G pamoja na pesa taslimu kila wiki kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni 10 kwa kununua vifurushi, kufanya malipo kwa M-Pesa na kupakua DJ Mixes kupitia Mdundo.
Masta Shangwe (mwenye kofia ngumu) pamoja na Mkuu wa Kanda Nyanda za Juu Kusini - Vodacom Tanzania, Abednego Mhagama (wa kwanza kushoto) wakikabidhi mfano wa kadi ya bima kwa Kaimu Mganga Mfawidhi, Dkt. Scholastica Malangalila na mmojawapo wa akina mama walionufaika, Bi. Grace John (katikati) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa mwishoni mwa wiki. Kupitia kampeni yake iliyofikia tamati ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’, kampuni hii imekabidhi kadi za bima kwa akina mama 100 na watoto 100 hospitalini hapo ikiwa ni zawadi ya upendo kutoka kwa kampuni hiyo katika msimu huu wa sikukuu uliomalizika.
Masta Shangwe (mwenye kofia ngumu) akifurahia pamoja na mmojawapo wa akina mama na mtoto wake walionufaika na bima ya bure ya afya kutoka Vodacom Tanzania, Bi. Grace John katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa mwishoni mwa wiki. Kupitia kampeni yake iliyofikia kikomo ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’, kampuni hii imekabidhi kadi za bima kwa akina mama 100 na watoto 100 hospitalini hapo ikiwa ni zawadi ya upendo kutoka kwa kampuni hiyo katika msimu huu wa sikukuu uliomalizika.
Masta Shangwe (mwenye kofia ngumu) akifurahia pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC mara baada ya kukabidhi bima kubwa za bure kwa akina mama na mtoto wao kwa mwaka mzima katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa mwishoni mwa wiki. Kupitia kampeni yake iliyofikia kikomo ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’, kampuni hii imekabidhi kadi za bima kwa akina mama 100 na watoto 100 hospitalini hapo ikiwa ni zawadi ya upendo kutoka kwa kampuni hiyo katika msimu huu wa sikukuu uliomalizika.
Masta Shangwe (mwenye kofia ngumu) pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC wakiwa pamoja na mshindi wa luninga kupitia kampeni iliyofika kikomo ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’, katika viwanja vya Stendi ya zamani ya mkoani Iringa mwishoni mwa wiki. Kupitia kampeni hiyo wateja walikuwa na fursa ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo bodaboda, luninga, simu za mkononi, router za 4G na 5G pamoja na pesa taslimu kila wiki kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni 10 kwa kununua vifurushi, kufanya malipo kwa M-Pesa na kupakua DJ Mixes kupitia Mdundo.
Masta Shangwe (mwenye kofia ngumu) pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC wakiwa pamoja na mshindi wa pikipiki kupitia kampeni iliyofika kikomo ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’, katika viwanja vya Stendi ya zamani ya mkoani Iringa mwishoni mwa wiki. Kupitia kampeni hiyo wateja walikuwa na fursa ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo bodaboda, luninga, simu za mkononi, router za 4G na 5G pamoja na pesa taslimu kila wiki kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni 10 kwa kununua vifurushi, kufanya malipo kwa M-Pesa na kupakua DJ Mixes kupitia Mdundo.
Masta Shangwe (mwenye kofia ngumu) pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC wakiwa pamoja na mshindi wa simujanja kupitia kampeni iliyofika kikomo ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’, katika viwanja vya Stendi ya zamani ya mkoani Iringa mwishoni mwa wiki. Kupitia kampeni hiyo wateja walikuwa na fursa ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo bodaboda, luninga, simu za mkononi, router za 4G na 5G pamoja na pesa taslimu kila wiki kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni 10 kwa kununua vifurushi, kufanya malipo kwa M-Pesa na kupakua DJ Mixes kupitia Mdundo.
Msanii wa Bongo Flava maarufu kama ‘Dogo Janja’ akijumuika pamoja na wakazi wa Iringa kutoa burudano kupitia kampeni iliyofika kikomo ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’ ya Vodacom Tanzania PLC, katika viwanja vya Stendi ya zamani ya mkoani humo mwishoni mwa wiki. Kupitia kampeni hiyo wateja walikuwa na fursa ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo bodaboda, luninga, simu za mkononi, router za 4G na 5G pamoja na pesa taslimu kila wiki kuanzia shilingi laki tano mpaka milioni 10 kwa kununua vifurushi, kufanya malipo kwa M-Pesa na kupakua DJ Mixes kupitia Mdundo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: