Kama ambavyo tumekuwa tukishirikiana mara zote katika miradi ya Serikali sisi kama Wanamanyara, Serikali imeshatufanyia kazi kubwa sana, sisi Wanamanyara wenyewe tunafanya nini?

“Mpe Maua, Atabasamu Asome Kifalme”, Ni kampeni ambayo mkoa tumeiandaa kwa lengo na makusudio ya Kuboresha Sekta ya Elimu, kampeni hii itasaidia upatikanaji wa viti na meza na Madawati.

Shahuku yetu kubwa ni kuona watoto wetu wanasoma wakiwa wamekaa kwenye madawati, viti na meza ambavyo vitakuwa vimechangiwa na wewe kwa upendo.

Mhe. Queen Cuthbert Sendiga 
Mkuu wa Mkoa wa Manyara. 

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: