Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Perfect Infotech International Limited (PII), Bw. Amos Oyamba akimpatia zawadi ya hundi yenye thamani ya shilingi Milioni moja kwa mshiriki wa Miss Tanzania 2016 ambaye alikuwa ni mwakilishi wa mkoa wa Kilimanjaro, Miss Glory Minja. Pembeni  ni Mkurugenzi Uendeshaji Biashara wa kampuni ya Perfect Infotech International Limited (PII), Ebenezer Msuya.
Miss Tanzania 2016 ambaye alikuwa ni mwakilishi wa mkoa wa Kilimanjaro, Miss Glory Minja akitoa shukrani zake wa kampuni ya PII ambao wamemtambulisha kuwa balozi wao.
Mkurugenzi Uendeshaji Biashara wa kampuni ya Perfect Infotech International Limited (PII), Ebenezer Msuya akizungumza na waandishi wa habari wakati wakimtambulisha balozi wa kampuni yao, mshiriki wa Miss Tanzania 2016 ambaye alikuwa ni mwakilishi wa mkoa wa Kilimanjaro, Miss Glory Minja.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: