

Serikali inaendelea kuboresha na kujenga Miundombinu ya uvuvi ikiwemo masoko ,maghala ya kuhifadhia mazao ya uvuvi, vichanja vya kukaushia samaki maghala ya kuifadhia mazao ya uvuvi na viwanda vya kuchakata mazao ya uvuvi na teknolojia rafiki za ukaushaji ili kubadilisha sekta hii kutoka ufugaji na ukulima mdogo kuelekea katika kuimarisha lishe na uchumi wa wakulima wadogo wanaojikita katika uzalishaji na ukuzaji wa viumbe maji nchini ambapo matokeo hayo yanatarajia kuchochea uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla.
Hayo yameelezwa na Bw. Jumanne Mwankoo Kaimu katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma wakati wa tukio la kuhakiki taarifa ya matokeo ya mwisho ya mradi wa kuimarisha lishe kwa wakuzaji wadogo wa viumbe maji (ARNSA) uliokuwa ukiratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge Uratibu wenye Ulemavu kwa msaada wa Shirika la NORAD kupitia Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo Duniani IFAD tarehe 5 Juni 2026.Bw. Mwankoo alisema kuwa Mradi huo wa kikanda uliokuwa katika Nchi za Tanzania, Kenya na Msumbiji na kutekelezeka katika Mikoa ya Lindi Mtwara na Ruvuma nchini,
Ambao umetoa mchango mkubwa katika sekta ya uvuvi ambayo imechangia takribani asilimia 69% ya protini katika lishe bora, uzalishaji wa mazao ya viumbe maji sambamba na ongezeko la ajira kwa vijana na wanawake na kuimarisha lishe kwa wakuzaji wadogo wa viumbe maji, hususan wakulima wa mwani na wafugaji wa samaki katika Halmashauri za Mtama, Ruangwa Songea na Mbinga
Akiongea wakati wa kufunga mradi huo wa Lishe, Mratibu wa Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu Bw. Salimu Mwinjaka Alisema kuwa, mradi huo wa miaka miwili ulijikita zaidi katika katika kilimo cha mwani na uzalishaji wa viumbe maji ulifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwani wanufaika wa mdari huo bado wanaendelea na shughuli hizo za uzalishaji kwa kutumia teknolojia za kisasa na ubunifu waliojijengea.

Kwa pande wake Mkurugenzi wa Ukuzaji viumbemaji toka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt Nazaeli Madala alieleza kuwa, Serikali imeweka msisistizo katika kukuza uchumi na mikoa iliyotekeleza mradi huo imeweza kukuza uchumi.
‘Mkoa hiyo imebahatika kupata ardhi nzuri na imekuwa fursa ya kuweza kufuga na kupata chakula na kuwauzia wengine chakula, kupata uzalishaji ulio na tija pamoja na uzalishaji Ajira na huu ndo msukomo wa Serikali.” Alibainisha Dkt Madala.
Mmoja wa wanufaika wa Mradi huo mwakilishi wa vijana Bw. Innocent Kikiwa Amesema kuwa mradi huo umemuwezesha yeye kama kijana kuweza kupata uzoefu katika eneo la Ufugaji Viumbemaji na kilimo cha mwani, kuweza kujiajiri kukuza mnyororo wa thamani kwa kuuza mazao yatokanayo na zao la mwani, kuuza samaki anaowafuga pamoja na kutafuta masoko.


Kongamano hilo liliwakutanisha wanafunzi wa shule za sekondari na vyuo vikuu, taasisi mbalimbali za Serikali, sekta binafsi pamoja na wadau wa maendeleo. Tukio hilo limefanyika ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani mwaka 2026.
Maadhimisho ya mwaka huu nchini yanaongozwa na kaulimbiu isemayo, “Dira 2050: Tuwajibike Kupigania Tanzania,” inayolenga kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika kulinda mazingira na kuhakikisha maendeleo endelevu kwa vizazi vya sasa na vijavyo.
.jpeg)
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mafunzo hayo, Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) Bi. Anjela Tulumamanywa, alisema kuwa mafunzo elekezi ni nyenzo muhimu kwa wafanyakazi wapya kujifunza misingi ya utumishi wa umma kupitia miongozo mbalimbali ya serikali. .jpeg)
DAR ES SALAAM — An atmosphere of pride,
academic excellence and national prestige filled Mlimani City Hall on
May 25, 2026, as the University of Dar es Salaam (UDSM) conferred
degrees to 876 graduates, including 94 new PhD holders, during Cluster I
of its 56th Graduation Ceremony.
The ceremony, presided over by
the University Chancellor and former President of Tanzania, Dr. Jakaya
Mrisho Kikwete, reaffirmed UDSM’s position as one of Africa’s leading
centres of research, innovation and intellectual leadership.
The
94 doctoral graduates came from 15 academic disciplines, reflecting the
University’s growing role in producing highly skilled researchers,
innovators and professionals capable of contributing to national
transformation and global development.
Unlike the lively
celebrations commonly associated with undergraduate graduations, the PhD
ceremony carried an atmosphere of academic maturity and scholarly
prestige. Dressed in elegant academic regalia, the graduates proudly
crossed the stage, symbolizing years of sacrifice, resilience, rigorous
research and dedication.
Speaking during the ceremony, Chancellor
Kikwete urged graduates to use their education and research to solve
societal challenges and contribute to national development.
“Your
education must become a tool for bringing positive change to society.
The knowledge and expertise you have acquired should help drive
innovation, leadership and transformation for the benefit of Tanzania
and the wider global community,” said Dr. Kikwete.
He further
emphasized the importance of research and knowledge creation in shaping
Africa’s future, noting that universities must continue producing
scholars capable of providing evidence-based solutions to emerging
challenges.
UDSM Vice Chancellor, Prof. William A. L. Anangisye,
described the graduation ceremony as a reflection of the University’s
continued growth in teaching, research, innovation and international
competitiveness.
Presenting the University’s annual progress
report, Prof. Anangisye revealed that UDSM currently has 235 researchers
ranked among Tanzania’s top 1,000 researchers according to the AD
Scientific Index 2026. This represents 23.5 percent of all top
researchers across 50 institutions nationwide.
He added that the
University has continued strengthening academic quality and labour
market relevance through curriculum reforms, with 285 undergraduate and
postgraduate programmes reviewed based on stakeholder feedback and
changing market demands.
Prof. Anangisye also highlighted major
achievements in innovation and research commercialization. During the
2025/2026 academic year, UDSM researchers and innovators registered six
patents through BRELA, some involving student innovators.
The
registered innovations include technologies for bioethanol production,
mushroom cultivation using sisal waste, organic fertilizer production,
protein feed development using Black Soldier Fly larvae, and wine
production from bamboo juice.
“These achievements demonstrate
UDSM’s ability to add value to local resources, promote the green
economy and use science to provide practical development solutions,”
said Prof. Anangisye.
The Vice Chancellor further revealed that
through the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project,
the University is currently constructing 21 new buildings and
renovating three others, a move expected to increase student capacity by
4,812 spaces.
He added that UDSM has also expanded digital
learning infrastructure by increasing internet capacity, digitizing more
than 1,000 courses and providing short-term professional training to
nearly 3,000 staff members.
Addressing graduates directly, Prof. Anangisye reminded them that education is both a privilege and a responsibility to society.
“Education
is not merely a personal achievement or decoration. It is a
responsibility and a debt to the nation. Use the knowledge you have
acquired to serve society, create opportunities and contribute to
national development,” he said.
He encouraged graduates to
embrace innovation, entrepreneurship and opportunities within the
digital economy, especially in situations where formal employment
opportunities may not immediately be available.
One of the most
inspiring moments of the ceremony was the graduation of Dr. Paul Msoka, a
visually impaired scholar who earned a PhD in Education after
previously completing both his Bachelor’s and Master’s degrees within
the UDSM system.
Dr. Msoka’s achievement stood out as a powerful
testimony to resilience, determination and the University’s commitment
to inclusive education and equal access to academic opportunities.
A
researcher specializing in inclusive education and visual impairment
studies, Dr. Msoka has contributed scholarly work focused on improving
learning opportunities for students with visual impairment in Tanzania’s
inclusive schools.
His achievement inspired many graduates,
lecturers, family members and guests attending the ceremony,
particularly young Tanzanians living with disabilities who aspire to
pursue higher education and professional excellence.
Throughout
the ceremony, emotional moments unfolded as graduates celebrated with
supervisors, colleagues, friends and family members. Smiles, embraces
and photographs reflected years of perseverance, sacrifice and academic
dedication behind every success story.
Established in 1961, the
University of Dar es Salaam remains Tanzania’s premier institution of
higher learning and a symbol of academic excellence. Over the decades,
the University has produced influential leaders, policymakers, scholars,
diplomats, entrepreneurs and professionals who continue shaping
Tanzania, Africa and the wider world.
For the Class of 2026, the
graduation ceremony marked not only the completion of an academic
journey, but also the beginning of a new chapter of leadership,
innovation and national service.
As celebrations continued
outside Mlimani City Hall, one message remained clear — the future of
Tanzania’s intellectual, scientific and developmental transformation
continues to be shaped at the University of Dar es Salaam.
Serikali ya Kenya imetoa hati rasmi za vyuo vikuu kwa Kenya Advanced Institute of Science and Technology na Kenya Medical Research Institute katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Nairobi, hatua inayolenga kuimarisha elimu ya juu, utafiti wa kisayansi na ubunifu nchini humo.
Hatua hiyo imeelezwa kuwa sehemu ya mkakati wa makusudi wa kupanua fursa za elimu ya juu pamoja na kuimarisha mazingira ya utafiti na uvumbuzi yatakayosaidia maendeleo ya taifa.
Kupitia hatua hiyo, Kenya inalenga kujenga mustakabali unaotegemea elimu bora, ubunifu wa ndani na maendeleo endelevu ya tafiti mbalimbali za kisayansi.
Viongozi waliozungumza wakati wa hafla hiyo walisisitiza kuwa vyuo vikuu vina nafasi muhimu katika kuandaa wataalamu wa kada mbalimbali wakiwemo wanasayansi, wahandisi, madaktari na wabunifu ambao watasaidia kuleta mabadiliko ya maendeleo nchini.
Aidha, ilielezwa kuwa pamoja na kuchangia maendeleo ya kitaifa, wataalamu hao pia wanatarajiwa kutoa mchango mkubwa katika nyanja mbalimbali duniani kupitia maarifa, teknolojia na suluhisho za changamoto zinazokabili jamii.
Hatua hiyo pia inatazamwa kama juhudi za Kenya za kuimarisha sekta ya elimu na kuifanya nchi hiyo kuwa kitovu cha utafiti, teknolojia na ubunifu katika ukanda wa Afrika.
























.jpeg)

.jpeg)









