Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa Muembe (Mangifera indica) katika eneo la Bungi Kilimo, Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 27 Januari, 2026, wakati wa kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa. Rais Mhe. Dkt. Samia alizaliwa tarehe 27 Januari, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.
Home
HABARI
HABARI NA MATUKIO
HABARI ZA KIJAMII
MAMA SAMIA SULUHU
Mti wa Samia, Alama ya Tumaini na Maendeleo ya Taifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Toa Maoni Yako:
0 comments: