Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amekutana na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dodoma kwa lengo la kujitambulisha leo Agosti 10,2022 ambapo ameomba kushirikiana kuijenga Dodoma yenye muonekano wa Kimataifa kutokana na kuwa ni Makao Makuu ya Nchi.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Toa Maoni Yako:
0 comments: