Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Newala hawapo pichani wakati aliposimama kukagua barabara ya Mtwara-Newala-Masasi km 210 itakayojengwa kwa kiwango cha lami.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Newala hawapo pichani wakati akipita mara baada ya kukagua barabara ya Mtwara-Newala-Masasi km 210 itakayojengwa kwa kiwango cha lami.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: