TUME ya Taifa ya Uchaguzi nimongoni mwa taasisi mbalimbali za binafsi na serikali zinazoshiriki katika Maonesho ya Wakulima maarufu kama Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma na kuwapa fursa wananchi hasa wakazi wa mikoa ya Kanda ya Kati kupata elimu ya Mpiga Kura ambayo hutolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Katika banda la NEC wananchi mbalimbali wameweza kutembelea leo Agosti 1,2023 ikiwa ni siku ya kwanza ya maonesho hayo ya siku 10.

Wananchi hao waliweza kuuliza maswali mbalimbali ambayo yalipatiwa majibu kutoka kwa maofisa wa Tume.
Wananchi waliotembelea banda la Tume, wakiangalia Album iliyo na picha za uteuzi wa wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.


Afisa wa NEC, Nuru Riwa akitoa amelezo kw mgeni aliyefika katika Banda la Tume.
Afisa wa NEC, Loshilu Saning'o akitoa amelezo juu ya matumizi ya BVR inavyo fanya kazi wakati wa uboreshaji.

Maofisa wa Tume wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kwa wageni waliofika Bandani.

Maofisa wa Tume wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kwa wageni waliofika Bandani.

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: