RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Uongozi wa Taasisi ya Bahari ya Korea Kusini, ukiongozwa na Mkuu wa Taasisi hiyo Dkt.Kim Jong Deog, (kulia kwa Balozi) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 13-6-2023, (kulia kwa Rais) Balozi wa Tanzania Nchini Korea Kusini Mhe. Togolani Edriss Mavura.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Uongozi wa Taasisi ya Bahari ya Korea Kusini, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 13-6-2023, (kulia kwa Rais) Balozi wa Tanzania Nchini Korea Kusini Mhe. Togolani Edriss Mavura na Mkuu wa Taasisi ya Bahari Kuroe Kusini Dkt.Kim Jong Deog, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Uchumi wa Buluu Zanzibar Mhe. Suleimann Masoud Makame.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar mgeni wake Mkuu wa Taasisi ya Bahari ya Korea Kusini Dkt. Kim Jong Deog, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 13-6-2023.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Mkuu wa Taasisi ya Bahari ya Korea Kusini Dkt. Kim Jong Deog, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 13-6-2023.(Picha na Ikulu)
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: