Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) Gerlad Kusaya akiwa na ujumbe wake wakishiriki katika mkutano wa 64 wa majadiliano ya majadiliano ya Kamisheni ya Kimataifa ya Kudhibiti Dawa za Kulevya Duniani ulioanza Oktoba 18 - 21 Mwaka huu Jijini Vienna Nchini Austria.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) Gerlad Kusaya (Wa kwanza Kushoto), Mwenyekiti wa Mkutano wa UNCND Balozi Dominika Chrois (wa katikati) na Katibu Mtendaji wa UNCND Bibi Jo Bedeyne- Amann (wa kwanza Kulia) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano huo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: