Balozi wa Sweden nchini Bw. Anders Sjoberg akiongea na waandishi wa habari mapema jana jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) akitoa ufafanuzi wa jambo mbele ya waandishi wa habari katika Kongamano la Sauti za Wasichana mapema jana jijini Dar es saalaam.
Meza kuu ikiwa katika safu yake.
Afisa habari wa Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) Michael Jackson Sungusia akitoa ufafanuzi wa jambo fulani mbele ya Mgeni Rasmi.
Wasichana kutoa mikoa mbalimbali hapa nchini wakifuatilia Kongamano kwa umakini.
Toa Maoni Yako:
0 comments: