Mkuranga, Septemba 6, 2025: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia CCM, Abdallah Ulega, amezindua kampeni zake leo kwa kuvutia maelfu ya wananchi waliojitokeza kumshangilia.

Katika tukio hilo, Ulega alipiga picha ya selfie na wananchi, ishara ya mshikamano na mshikikiano na wapiga kura wake.

Wananchi walionesha hamasa kubwa, huku viongozi wa chama wakisisitiza mshikamanon na mshindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao.

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: