Kupitia programu ya Learning for Life, vijana wanapata mafunzo ya kina yatakayowawezesha kufanya kazi kwenye sekta ya utalii kwa weledi. Mafunzo haya yanalenga kukuza huduma bora kwa mgeni, mahusiano ya wateja, na uelewa wa tamaduni mbalimbali – stadi ambazo ni msingi wa mafanikio kwenye sekta ya utalii. Hii ni hatua madhubuti ya kuinua utalii wa ndani kwa kutumia nguvu kazi ya vijana.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: