Mgeni rasmi Katibu Tawala wilaya ya Shinyanga,Boniface Chambi kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Jasinta Mboneko akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani wilaya ya Shinyanga ambayo yamefanyika katika kijiji cha Shilabela kata ya Pandagichiza.Picha zote na Kadama Malunde - Malunde1 blog
Afisa Mradi wa Afya ya Uzazi na Ujinsia kwa Vijana wa Shirika la Agape AIDS Control Program la Mjini Shinyanga Lucy Maganga akizungumzawakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani ambapo katika wilaya ya Shinyanga ambayo yamefanyika katika kijiji cha Shilabela kata ya Pandagichiza.
Wanafunzi na wananchi wa Pandagichiza wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani Desemba 1,2018.
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Shinyanga,Ngasa Mboje akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani katika wilaya ya Shinyanga.
Mganga Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Dkt.Amos Mwenda akisoma taarifa kuhusu maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani Desemba 1,2018.
Mgeni rasmi Katibu Tawala wilaya ya Shinyanga,Boniface Chambi kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Jasinta Mboneko akikabidhi sare za shule kwa mmoja wa wanafunzi/watoto yatima 10 wanaosoma katika shule ya msingi Pandagichiza iliyopo katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.Sare hizo zimetolewa na Shirika la Agape ambalo linatekeleza Mradi wa Afya ya Uzazi na Ujinsia kwa Vijana katika halmashauri hiyo. 
Mwanafunzi wa shule ya msingi Pandagichiza akipokea sare ya shule.
Wanafunzi wa shule mbalimbali katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wakisubiri kupewa zawadi mbalimbali ikiwemo ya sare za shule,madaftari na kalamu.
Katibu Tawala wilaya ya Shinyanga,Boniface Chambi akikabidhi zawadi ya madaftari na kalamu kwa mwanafunzi.
Wadau mbalimbali wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani Desemba 1,2018.
Wanafunzi na wananchi wa Pandagichiza wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani Desemba 1,2018.

Wanafunzi wa shule ya msingi Pandagichiza wakifurahia zawadi ya sare za shule walizopewa na shirika la Agape.Kulia ni Mwalimu wa shule hiyo,Lucia Maungo.
Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Pandagichiza halmashauri ya wilaya ya Shinyanga wakiwa wameshikilia zawadi ya sare za shule zilizotolewa na shirika la Agape.
Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Pandagichiza halmashauri ya wilaya ya Shinyanga,walimu wa shule ya msingi Pandagichiza na wafanyakazi wa shirika la Agape wakiwa katika picha ya pamoja.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: