Mhamasishaji wa Afya kutoka shirika la FHI 360, Happiness Swai akimhamasisha mmoja wa wakaazi wa eneo la Chamgombe jijini Dodoma ambaye ni mhudumu wa duka la dawa kujitokeza katika zoezi la kitaifa la upimaji na tiba wa VVU linaloratajiwa kuzinduliwa rasmi na Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa tarehe 19 mwezi huu katika uwanja wa Jamhuri jijini humo.
Wahamasishaji wa Afya kutoka shirika la FHI 360 wakiwa katika harakati za kuwahamasisha wakaazi wa eneo la Changombe jijini Dodoma kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kitaifa la upimaji wa VVU na kuanza kutumia dawa mapema ambalo linatarajiwa kuzinduliwa rasmi na Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa tarehe 19 mwezi huu katika uwanja wa Jamhuri jijini humo.
Wahamasishaji wa Afya kutoka shirika la FHI 360 wakiwa katika harakati za kuwahamasisha wakaazi wa eneo la Changombe jijini Dodoma kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kitaifa la upimaji wa VVU na kuanza kutumia dawa mapema ambalo linatarajiwa kuzinduliwa rasmi na Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa tarehe 19 mwezi huu katika uwanja wa Jamhuri jijini humo.
Mhamasishaji wa Afya kutoka shirika la FHI 360, Getruda Francis akimhamasisha mmoja wa wakaazi wa Area A, jijini Dodoma ambaye ni mama wa nyumbani, kujitokeza katika zoezi la kitaifa la upimaji na tiba wa VVU linaloratajiwa kuzinduliwa rasmi na Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa tarehe 19 mwezi huu katika uwanja wa Jamhuri jijini humo.


Toa Maoni Yako:
0 comments: