Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Radio EFM na TVE Ndugu Deniss Ssebo, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Ssebo amefariki baada ya kuugua ghafla. Taarifa zaidi zitawajia baadae.

Mwenyezi Mungu Ailaze , Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi . AMEN

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: