Mkurugenzi Mtendaji wa Vidacom Tanzania Philip Besimire akizungumza wakati wa hafla ya Iftaar ya pamoja na Wateja wa Vodacom Zanzibar na Wafanyakazi  katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar, akizungumza na kutowa shukrani.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk,Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Philip Besimire alipowasili katika viwanja vya Hotel ya Golden Tulip kuhudhuria Iftaar ya pamoja iliyoandaliwa na Vodacom.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk,Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Tehama wa Vodacom Athumani Mlinga alipowasili katika viwanja vya Hotel ya Golden Tulip kuhudhuria Iftaar ya pamoja iliyoandaliwa na Vodacom.











Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: