Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) kwa jitihada inazochukua za muda mfupi za uchimbaji visima maeneo ya pembezoni mwa Jiji la Dodoma kuhakikisha wananchi waliyopo katika maeneo ya pembezoni wanapata huduma ya maji.

Pongezi hizo zimetolewa leo Oktoba 09, 2024 wakati wa Kikao cha Kamati ya PAC kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Naghenjwa Kaboyoka.

Aidha, Kamati hiyo imeiagiza DUWASA kufanyia kazi kwa wakati Hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: