Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Viongozi mbalimbali kwenye uwanja wa Ndege wa Dodoma kabla ya kuondoka kuelekea Accra nchini Ghana kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya Siku tatu leo tarehe 23 Mei, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika uwanja wa Ndege wa Dodoma wakati akielekea Accra nchini Ghana kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya Siku tatu leo tarehe 23 Mei, 2022.

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: