Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Mary Masanja (Mb) akikabidhiwa zawadi ijulikanayo kama nyengo katika ufunguzi wa Siku ya Utamaduni wa Mtanzania katika Kijiji cha Makumbusho jijini Dar es Salaam.Baadhi ya washiriki wa Siku ya Utamaduni wa Mtanzania wakifuatilia matukiao katika Kijiji cha Makumbusho jijini Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe.Mary Masanja (Mb) akizindua Siku ya Utamaduni wa Mtanzania Kijiji cha Makumbusho jijini Dar es Salaam.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: