Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta akionyesha hati ya utambulisho mara baada ya kuapishwa kuongoza taifa hilo kwa awamu ya pili. PICHA NA IKULU-KENYA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto akionyesha hati ya utambulisho mara baada ya kuapishwa kuongoza taifa hilo kwa awamu ya pili.

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta akiapa kuiongoza taifa hilo kwa awamu ya pili.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto akiapa kuiongoza taifa hilo kwa awamu ya pili.
Viongozi mbali mbali waliohudhuria katika sherehe hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta akipokea heshima mara baada ya kuapishwa.
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimia na vingozi mbali mbali waliohudhuria sherehe hiyo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto akisalimiana na viongozi walihudhuria sherehe hiyo.


Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Rais wa Zambia, Mhe. Edger Lungu.
Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta akishangiliwa wakati akitoka uwanjani wa Kisarani jijini Nairobi, Kenya. 
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: