Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akimkaribisha Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba hii leo Ikulu-Zanzibar alipomtembelea kwaajili ya mazungumzo.
Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi. Mhe. Mwigulu Nchemba akifanya mazungumzo na Dkt. Rais wa Zanzibar kabla ya kuanza ziara ya kikazi visiwani humo iliyolenga kukutana na vikosi vya jeshi la polisi, NIDA, Uhamiaji n.k.
Wakiagana mara baada ya Mazungumzo. Picha/Maelezo na Festo Sanga Jr.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: