Mkurugenzi mkuu wa Superdoll bwana Richard Kumar akimuonyesha dereva wa basi la Aliushum bwana Joseph Mwakipesile tairi la Michelin katika kituo cha mabasi yaendayo mikoni Ubungo.

Meneja wa masoko wa kampuni Superdoll inayo uza matairi ya Michelin bibi Emma Kreu akimweleaza dereva wabasi la KVC bwana Willbrait Matemba jinsi matairi ya Michelin yalivyo na uimara pamoja na usalama kwa mabasi yanayo fanya safari ndefu maonyesho hayo yaliambatana na semina kwa madereva katika kituo cha mabasi ya endayo mikoni ubungo semina ya wiki moja. 

Madereva waliohudhuria semina hiyo ya matairi ya Michelin walisema matairi hayo ni imara na salama kwani hayapati moto hivyo siyo rahisi kupasuka, wameomba wamiliki wa mabasi wanunue matairi hayo kwani ni ya uhakika kwasafari.

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: