Mwanamuziki D'Banji akichengua vimwana kutoka kampuni ya Sigara TTC vilivyokuja kumpokea uwanja wa ndege wa J.K.Nyerere leo mchana.

D'Banji atafanya onyesho lake litakalofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Pakers jijini Dar es salaam akihirikiana na wanamuziki wengine mbalimbali wa Tanzania, Uganda na Kenya, onyesho hilo linatarajiwa kufanyika jumamosi wiki hii Novemba 28/2009.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: