Articles by "BURUDANI"
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
TANZANIA YASAINI MKATABA MPYA WA USAFIRI WA BAHARINI WA AFRIKA KATIKA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA AFRIKA
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini rasmi Mkataba Mpya wa Usafiri wa Baharini wa Afrika wa mwaka 2010, hatua muhimu inayoashiria kuimarika kwa dhamira yake ya kushiriki...
SimBanking kugawa milioni 240, magari matano kwa wateja wake
Ikizindua msimu wa tano wa kampeni ya yake ya Benki ni SimBaking, Benki ya CRDB imetangaza kutenga zawadi kiasi cha shilingi milioni 240 pamoja na magari matano.Akizindua...
Benki ya NBC yakabidhi basi jipya kwa Klabu ya Coastal Union ya Tanga
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya NBC imekabidhi basi jipya kwa Klabu ya soka ya Coastal Union FC ya jijini Tanga inayoshiriki ligi...
CRDB BANK YAZIDI KUIPAISHA KILI MARATHON
Hafla ya msimu wa 35 wa mbio za Kili Marathon imefanyika leo katika viwanja vya ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro, ambapo benki ya CRDB imeendeleza udhamini wake wa...
VODACOM YAWAPA WASICHANA DAR ES SALAAM MAFUNZO YA TEHAMA KUPITIA PROGRAM YA 'CODE LIKE A GIRL'
Mtaalamu wa mifumo ya kompyuta wa kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, Naamini Yonazi akiongea na wasichana wanaofanya mafunzo ya Code like a Girl yanayofadhiliwa na kampuni...
MATI SUPER BRANDS YASHIRIKI MANYARA DAFTARI DAY JOGGING
Na Mwandishi Wetu, Manyara.Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited imeshiriki na kudhamini Matembezi maalumu ya kuhamasisha Wananchi kujiandikisha...
WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI WATAKIWA KUWEPO VITUONI MUDA WOTE
Mwenyekiti Wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe.Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, akizungumza wakati akifunga mafunzo ya siku mbili kwa Waratibu wa Uandikishaji...
Page 1 of 331234567...33Next »Last