
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni
baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe
06 Agosti, 2026.
Rais
wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta akisaini Kitabu cha wageni,
baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe
06 Agosti, 2026.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
akimpigia makofi Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni
baada ya kusaini Kitabu cha wageni katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar
es Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwa kwenye picha na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta
Museveni baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es
Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta
Museveni baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es
Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026.
Waziri
wa Nishati wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza kwenye
mkutano wa Waandishi wa Habari baada ya hafla ya utiaji saini Hati ya
Makubaliano kuhusu mapendekezo ya kuendeleza Tanga kama Kituo cha
Nishati cha Kikanda ulioshuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya
Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, Ikulu, jijini Dar es Salaam, tarehe
06 Agosti, 2026.
Waziri
wa Nishati na Maendeleo ya Madini Mhe. Dkt. Musenero Masanza wa Uganda
akizungumza kwenye mkutano wa Waandishi wa Habari baada ya hafla ya
utiaji saini Hati ya Makubaliano kuhusu mapendekezo ya kuendeleza Tanga
kama Kituo cha Nishati cha Kikanda ulioshuhudiwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa
Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, Ikulu, jijini Dar es
Salaam,tarehe 06 Agosti, 2026.
Rais
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na Kuzungumza na Rais wa Jamhuri
ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, Ikulu Jijini Dare es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakishuhudia
utiaji saini Hati ya Makubaliano kuhusu mapendekezo ya kuendeleza Tanga
kama Kituo cha Nishati cha Kikanda katika viwanja vya Ikulu, jijini Dar
es Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026. Hati hiyo ya Makubaliano imesainiwa
kati ya Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) chini ya
Mkurugenzi Mtendaji Bw. Mussa Makame, Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya
Uganda (UNOC) chini ya Mkurugenzi Mtendaji Bi. Proscovia Nabbanja pamoja
na Kampuni ya Biashara ya Mafuta na Nishati ya Vitol ya Bahrain, chini
ya Mkurugenzi Mtendaji wake Tom Baker.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni wakishuhudia
utiaji saini Hati ya Makubaliano kuhusu mapendekezo ya kuendeleza Tanga
kama Kituo cha Nishati cha Kikanda katika viwanja vya Ikulu, jijini Dar
es Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026.Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara
baada ya kuhitimisha ziara rasmi ambapo walishuhudia utiaji saini Hati
ya Makubaliano kuhusu mapendekezo ya kuendeleza Tanga kama Kituo cha
Nishati cha Kikanda kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es
Salaam, tarehe 06 Agosti, 2026.








Toa Maoni Yako:
0 comments: