Kikao kati ya maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na wafanyabiashara wa kichina kimefanyika katika Hotel ya Rotana jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuwaelimisha mambo mbali mbali ya kikodi pamoja kutafuta ufumbuzi wa changamoto walizonazo katika ulipaji wa kodi.
Kikao kikiendelea kati ya maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na wafanyabiashara wa kichina kimefanyika katika Hotel ya Rotana jijini Dar es Salaam.
Kikao kikiendelea.

Kikao kikiendelea.

Baadhi ya maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na wafanyabiashara wa kichina wakiwa katika Picha ya pamoja.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: