WAZIRI Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa akiwasili Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally akimpokea Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa aliyeongozana na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho walipowasili Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli na Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally wakimwangalia Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa akiweka sahihi kweny kitabu cha wageni akiwa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho walipowasili Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally wakiongea na Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho walipowasili Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally wakiongea na Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho walipowasili Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akimpeleka ofisini kwake Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa alipowasili Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akifurahia wakati Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho Ndg. Rostam Aziz wakisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akifurahia jambo wakati wa maongezi na Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho Ndg. Rostam Aziz, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongea jambo na Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa wakati wakitoka nje wakuwa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho Ndg. Rostam Aziz, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akimsikiliza Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa wakati akitangazia umma rasmi kwamba anarudi nyumbani akiwa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho Ndg. Rostam Aziz, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akimsikiliza Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa wakati akitangazia umma rasmi kwamba anarudi nyumbani akiwa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho Ndg. Rostam Aziz, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongea baada ya Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa kuutangazia umma rasmi kwamba anarudi nyumbani akiwa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho Ndg. Rostam Aziz, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akimkaribisha Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa baada ya kuutangazia umma rasmi kwamba anarudi nyumbani akiwa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho Ndg. Rostam Aziz, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akimkaribisha Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa baada ya kuutangazia umma rasmi kwamba anarudi nyumbani akiwa na aliyekuwa Mbunge wa Igunga na mweka hazina wa cha hicho Ndg. Rostam Aziz, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019 
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli akiagana na Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Mhe. Edward Lowassa baada ya kuutangazia umma rasmi kwamba anarudi nyumbani akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Ofisi Ndogo za Makao makuu ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam Ijumaa March 1, 2019. PICHA NA IKULU.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: