TRA yashiriki MOI Marathon 2024 kwa lengo la kuchangia matibabu ya magonjwa sugu pamoja na kutoa msukumo kwa watumishi wa Hospitali hiyo  kufanya mazoezi ili kujiepusha na magomjwa yasioambukiza .

Katika ushiriki huo TRA ni kutaka kufikisha ujumbe wa kuhamasisha wananchi kutoa na kudai risiti ili kuwezesha serikali kutoa huduma za matibabu kwa  wananchi wake.

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: