Msanii mkongwe wa muziki kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone amewasili nchini Tanzania kwaajili ya kutumbuiza katika Tamasha kubwa la 'SERENGETI LITE OKTOBA FEST', litakalofanyika  Coco Beach jijini Dar es Salaam.

Mapokezi hayo yaliyopambwa na Kinywaji cha Serengeti LITE kiliweza kuonyesha umahili wake baada ya msanii huyo kupewa na kuonyesha alama ya upendo.
Tamasha la "SERENGETI LITE OKTOBA FEST" litajumuisha wasanii lukuki kutoka hapa Nchini Tanzania wakiongozwa na Alikiba, billinas, Chino kidd, Gnako na Msanii kutoka nchini kenya Nyamari ongegu "Nyashiski pamoja na Jose Chameleone.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: