RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kubadilishana mawazo na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. David Concar, baada ya kumaliza mazungumzo yao na kushuhudia utiaji wa saini ya makubaliano ya kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. David Concar.(kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu na kushuhudia utiaji wa saini ya makubaliano ya kupambana na Dawa za Kulevya na uhalifu hafla hiyo imefanyika leo 15-12-2021.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. David Concar.(kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa Mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu akiwa na ujumbe wake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: