Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro Disemba 3, 2021 ameongoza kikao cha Utendaji kazi cha Maofisa Wakuu wa Makao Makuu ya Polisi jijini Dodoma, kujadili utendaji wa kazi za Jeshi hilo, kufanya tathmini ya mafanikio yaliyopatikana, changamoto kwa kipindi kilichopita na kuweka mikakati ya kutekeleza kazi za Polisi kwa ufanisi katika kulinda usalama wa raia na mali zao.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: