Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy ( kulia) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio ya msanii huyo iitwayo Hightable Studio na kukabidhi vyeti toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema hii leo Julai 17, 2019.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy ( kulia) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio ya msanii huyo iitwayo Hightable Studio na kukabidhi vyeti toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema hii leo Julai 17, 2019.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio ya Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy iitwayo Hightable Studio na kukabidhi vyeti toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema hii leo Julai 17, 2019.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kulia)akisoma moja ya vyeti vya usajili wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio ya Msanii mziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy iitwayo Hightable Studio na kukabidhi vyeti usajili toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema hii leo Julai 17, 2019, kushoto ni Afisa Sanaa toka BASATA, Bi. Bona Masenge.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) akiwakabidhi vyeti vya usajili toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) wasanii wa Hightable Studio wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio inayomilikiwa na Msanii wa mziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy mapema hii leo Julai 17, 2019.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) akikagua vyeti usajili toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio ya Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy (kulia) iitwayo Hightable Studio mapema hii leo Julai 17, 2019.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy (kulia) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio ya msanii huyo iitwayo Hightable Studio na kukabidhi vyeti toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema hii leo Julai 17, 2019.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wasanii wa Hightable Studio wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio inayomilikiwa na Msanii wa mziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy mapema hii leo Julai 17, 2019.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) akipokea moja ya albamu ya Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy (kulia) wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio ya msanii huyo iitwayo Hightable Studio na kukabidhi vyeti toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema hii leo Julai 17, 2019. Picha na WHUSM - DSM.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza (kushoto) akikaribishwa na mwenyeji wake Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Barnaba Elias maarufu kama Barnaba Boy wakati naibu waziri huyo alipokwenda kuzindua rasmi studio ya msanii huyo iitwayo Hightable Studio na kukabidhi vyeti toka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema hii leo Julai 17, 2019.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: