Waziri mkuu Mh.KASSIM MJALIWA kesho anatarajia kuwasili mkoa RUVUMA majira ya saa saba mchna kwa ziara ya siku tatu ambapo ataanzia katika wilaya ya NAMTUMBO pamoja na TUNDURU hayo yamesemawa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINE MNDEME wakati akizungumza na waandishi wa habari habari kamili hii hapa video yake.
Home
HABARI NA MATUKIO
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KESHO KUWASILI MKOANI RUVUMA KWA ZIARA YA SIKU TATU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: