Mkuu wa Wilaya ya Monduli Iddi Hassan akizungumza katika uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji wanawake Kiuchumi ambalo lilihudhuriwa na wanawake kutoka kila kata ya Wilaya hiyo.Picha na Mahmoud Ahmad.

Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Monduli Rose Mhina akifafanua jambo katika uzinduzi wa jukwaa la Uweshaji wa Wanawake kiuchumi.Picha na Mahmoud Ahmad.
Baadhi ya Wanawake kutoka wilaya ya Monduli wakifuatilia kwa makini mkutano.Picha na Mahmoud Ahmad.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: