Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akizungumza katika ukumbi wa Diamond Field Hotel mjini Shinyanga wakati wa kuzindua mradi wa Mtoto Mwerevu unaotekelezwa na shirika la TVMC-Picha zote na Kadama Malunde - Malunde1 blog
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akisisitiza umuhimu wa watekelezaji wa mradi wa mtoto mwerevu kushirikisha walengwa katika jamii
Mkurugenzi wa Shirika la lisilo la kiserikali la The Voice of Marginalized Community (TVMC) ,Mussa Jonas Ngangala akielezea kuhusu mradi wa "Mtoto Mwerevu"
Mkurugenzi wa TVMC) Mussa Jonas Ngangala akielezea malengo ya mradi wa Mtoto Mwerevu
Wadau walioshiriki katika uzinduzi wa mradi wa Mtoto Mwerevu wakiwa ukumbini.
Wadau wakiwa ukumbini
Wadau wakiwa ukumbini
Wadau wakifuatilia kilichokuwa kinaendelea wakati wa uzinduzi wa mradi wa mtoto mwerevu
Uzinduzi unaendelea.
Picha zote na Kadama Malunde - Malunde1 blog.
Toa Maoni Yako:
0 comments: