Tunapenda kuwaomba radhi wasomaji wetu wa KAJUNASON BLOG kwa kutokuwa hewani takribani siku 4 kutokana na matatizo ya kiufundi yaliyokuwa nje ya uwezo wetu.

Tunashukuru kwa uvumilivu wenu na ujumbe mbali mbali wa kututia moyo tulioupata kutoka kwenu wasomaji wetu. 

Karibuni sana tuendelee kulijenga Taifa Letu kupitia blog yetu pendwa ya KAJUNASON.

Asanteni sana,

Imetolewa na
Mkurugenzi Mtendaji,
 Cathbert A. Kajuna. 
1.11.2016
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: