Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiongea na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix Costales. Balozi huyo alimtembelea Mh. Makamba na kufanya mazungumzo ya kudumisha uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiagana na Balozi wa Spain nchini Tanzania Bw. Felix Costales mara baada ya kufanya mazungumzo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: