Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dkt Juliana Palangyo akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya ZESA Holding (Private) Limited Josh Chifamba baada ya kufungua mkutano 40 Southern African Power Pool (SAPP) in Dar es Salaam jana. Kushoto ni Afisa mipango wa Jumuiya ya Maendeleo nchi za Kushini Mwa Afrika (SADC) Moses Ntlamelle na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Mhandisi Declan Mhaiki.
BAADHI ya washiriki wa mkutano 40 Southern African Power Pool (SAPP) wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dkt Juliana Palangyo jijini Dar es Salaam Machi 31 2016.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dkt Juliana Palangyo akiwa katika picha ya pamoja na washirki wa mkutano huo.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dkt Juliana Palangyo akipokea mkono wa pongezi kutoka kwa kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya ZESA Holding (Private) Limited Josh Chifamba baada ya kufungua mkutano 40 Southern African Power Pool (SAPP) in Dar es Salaam leo. Kushoto ni Afisa mipango wa Jumuiya ya Maendeleo nchi za Kushini Mwa Afrika (SADC) Moses Ntlamelle na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Mhandisi Declan Mhaiki.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dkt Juliana Palangyo akifungua mkutano huo.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dkt Juliana Palangyo akitoa hotuba yake.
BAADHI ya washiriki wa mkutano 40 Southern African Power Pool (SAPP) wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Dkt Juliana Palangyo jijini Dar es Salaam Machi 31 2016.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: