Tunakumbuka vyazi la siku hiyo lilikuwa kufananisha na rangi za bendera ya Tanzania. Waliopendeza walizawadiwa na Amarula.
 Brand manager wa Amarula, Diana Balyagati akiwapa waliofanikisha kushona na kufananisha rangi za bendera ya Taifa.
Hongereni sana wadada na wanawake kwa ujumla kwa kuweka juhudi ya kushona. Asante pia kwa AMARULA kwa kufanikisha.Najua ilikuwa kazi kubwa sana ila mimi  kupitia hii nimepata wazo flani hivi ntawashirikisha muda ukifika.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: