Jengo la Veta likiwa limeshakamilika kwa maonesho yatakayo zinduliwa hapo leo.
 Vodacom wakimalizia jukwaa la maonyesho mbali mbali ya bidhaa zao
 CRDB wakiwa wameshakamilisha banda lao kwa ajili ya maonesho ya nane nane.
 Baadhi ya mabanda yakiwa yanamaliziwa kujengwa jioni ya leo kuwahi uzinduzi wa maonesho hayo leo.
 Jengo la halmashauri ya jiji la Mbeya katika hatua za mwisho.
Nao akina dada hawapo nyuma kujiandaa kwa maonyesho hapo wakisukana nywele uwanjani hapo

Picha zote na- Mbeya yetu Blog.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: