Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Shadya Karume,(katikati) akiwa katika futari ya wananchi wa Mikoa 3 ya Unguja iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar Alhaj Amani Abeid Karume,katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar jana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Alhaj Amani Abeid Karume,(wapili kushoto)akishiriki katika futari aliyowandalia wananchi wa Mikoa 3 ya Unguja katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar jana.

Picha na Ramadhan Othman Ikulu.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: