Wanamuziki wakali wa miondoko HIP-HOP Bongo, Mr II a.k.a Sugu na Mwana FA wakiwa ndani ya S&S Studio in Brooklyn - New York, Marekani wakirekodi track yao mpya 'Dunia Yako' itakayokuwa kwenye album ya VETO.... hivyo wapenzi wa mambo yetu haya kaeni mkao wa kula. Picha kutoka katika kurasa ya picha ya Mwana Fa ndani ya wanja la kujidai la FaceBook.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: