Msanii GNako wa kundi la Weusi lenye makazi yake jijini Arusha mapema jana ameuaga ukapela katika kanisa Katoriki jijini Dar es Salaam.
Wapambe wa maharusi ambao wanaunga kundi la Weusi wakiwa katika picha ya pamoja.
Mashemeji wakiwa wamembeba bibi Harusi.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: