VIONGOZI mbalimbali Wastaafu na waliopo Madarakani wakiongozwa na Rais Mstaafu Alli Hassan Mwinyi wamepamba harusi ya Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, Robert Lowassa na mkewe Stephanie Kaaya. 


Ndoa ya wawili hao ilifungwa katika Kanisa la KKKT Usharika wa Mjini Kati na baadae katika tafrija iliyofanyika ukumbi wa Kiringa Gardens, Burka jijini Arusha.

Pichani juu ni Rais Mstaafu Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi akiwapongeza Maharusi hao.

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiwapongeza maharusi Robert 'Bob' na Mkewe Stephanie
  Viongozi mbalimbali waliohudhuria Sherehe hiyo wakisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa. 
 Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa.
Mke wa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Edward Lowassa.
 Alama ya Ndoa ya Robert na Stephanie
 Mfanyabashara Rostam Aziz akiwasili ukumbini
 Maharusi wakiingia ukumbini. 
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: